Umiliki

Kutoa ushauri kuhusu usimamizi wa Miliki za Serikali, kutwaa na kuendeleza ardhi, uundaji wa sera mbalimbali za ndani za makazi ya Serikali, kanuni na taratibu, za utoaji wa huduma za tathmini ya makazi ya Serikali.

Ushauri

Kutoa huduma ya ushauri kwa miradi ya majengo ya Serikali. Kuidhinisha michoro ya ujenzi ya Taasisi za Serikali na kutoa vibali vya ujenzi wa majengo ya Serikali.

Miradi

Kutoa ushauri kuhusu usimamizi wa Miliki za Serikali, kutwaa na kuendeleza ardhi, uundaji wa sera mbalimbali za ndani za makazi ya Serikali, kanuni na taratibu, za utoaji wa huduma za tathmini ya makazi ya Serikali.​

Ujenzi

Wakala wa Majengo ZBA hutoa huduma za Ujenzi , ukarabati ,usimamizi wa Nyumba na Majengo mapya ya Serikali

Mkurugenzi Mtendaji
Ndg Kassim Mussa Issa

Wakala wa Majengo -ZBA

Wakala wa Majengo Zanzibar ni taasisi ya Serikali iliyoanzishwa kwa mamlaka ya Rais wa Zanzibar chini ya kifungu nambari 53 cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 na kifungu nambari 55 cha Sheria ya Utumishi wa Umma Nambari 2 ya mwaka 2011, kupitia tangazo la kisheria (Legal Notice) nambari 50 la tarehe 12 Mei, 2017.

Wakala wa Majengo Zanzibar ilianzishwa kwa malengo ya kuimarisha usimamizi wa majengo ya Serikali na kuwapatia makazi yaliyo bora na nafuu viongozi na watumishi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Vile vile, Wakala inawajibu wa kuratibu na kusimamia shughuli zote za ujenzi wa majengo ya Serikali kwa Unguja na Pemba na kufanya matengenezo ya majengo hayo ya Serikali na kuhakikisha ubora na viwango vya ujenzi vinafikiwa.

MIRADI YETU MBALI MBALI

HABARI NA MATUKIO

TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

TBA NA ZBA KUENDELEZA USHIRIKIANO. Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) na Wakala wa Majengo Zanzibar (ZBA) kuendelea kushirikiana kufuatia Hati ya...

ZBA, TBA watembelea miradi ya kimaendeleo

ZBA, TBA watembelea miradi ya kimaendeleo.. MKURUGENZI Mkuu Wakala wa Majengo Mhandisi Kassim Ali Omar amesema kuwa mashirikiano ya kiutendaji baina...
MATUKIO KWA VIDEO
Scroll to Top