Dira

Kuwa taasisisi bora na yenye ufanisi ambayo itahakikisha upatikanaji wa majengo bora na ya kisasa kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Dhamira

Kujenga, kushauri, kusimamia na kufanyia ukarabati majengo ya Serikali ili kuipatia serikali majengo bora na ya kisasa pamoja na kuwapatia nyumba bora na nafuu viongozi wa SMZ na watumishi wa umma kwa ujumla.

Misingi Mikuu

Scroll to Top